Monday, June 17, 2013

KURUDIANA KATI YA AMINI NA LIHAH,AMIN ALIONGOPA AMA WAMEPIGANA CHINI TENA.?


Week chache zilizopita mtu mzima Amin aliongea exclusive  teentz na kusema kuwa yeye na dada etu Linah wameludiana kimapenzi,ingawa side B kwa upande wa Linah hakusema chochote kuhusu ishu hiyo
kupitia instagram Fineassgirl aka Masogange amepost picha ya Linah na Mshikaji anayemwita kaka .picha na maelezo vikionyesha hawa wawili tayari wana mchezo wa i love you,i love you too
 …

So amin aliongopa ama wameachana tena???
............................NOMA SANA..........

Source: TeenTz

Saturday, June 15, 2013

Mtu wa Nguvu ashambuliwa na watu wake Wa Nguvu

 Katika hali isiyo kawaida jana Mtu wa Nguvu alipost
status facebook iliyokua na link zenye picha ya Show ya Mwana Fa, Baada ya tukio ndipo watu wa nguvu wakaanza mshambulia kwa maneno, wengine wakimpa ushauri, na wengine hata matusi pia.. ila cheki mwenyewe hizo comments katika hiyo post, zingine nimeshindwa kuziweka maana zina matusi mazito nikaona si vyema kuyaweka hapa..

Thursday, June 13, 2013

Baadhi ya Tweets za wasanii walioshtushwa na Kifo cha Langa


Mke amfumania Mumewe akifanya vitendo vya ushoga!

Na Waandishi Wetu
WIKI chache tangu gazeti hili liliporipoti habari iliyohusu mume wa mtu kunaswa gesti na mwanaume mwenzake, mapema wiki hii, ile Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ chini ya Global Publishers imenasa timbwili lingine la aina hiyo gesti.

Vanessa Ajia Juu, BAB KUBWA

Mtangazaji wa Choice Fm, mwanamuziki, balozi wa vijana Tanzania, ameonyesha kukasirishwa na kitendo cha Gazeti la Babukubwa kuweka picha tofauti na walizokubaliana kwenye ukurasa wa mbele ambao ndio ukurasa wa mauzo wa gazeti (front page)

Lady Jay Dee Poster