Saturday, June 15, 2013

Mtu wa Nguvu ashambuliwa na watu wake Wa Nguvu

 Katika hali isiyo kawaida jana Mtu wa Nguvu alipost
status facebook iliyokua na link zenye picha ya Show ya Mwana Fa, Baada ya tukio ndipo watu wa nguvu wakaanza mshambulia kwa maneno, wengine wakimpa ushauri, na wengine hata matusi pia.. ila cheki mwenyewe hizo comments katika hiyo post, zingine nimeshindwa kuziweka maana zina matusi mazito nikaona si vyema kuyaweka hapa..



No comments:

Post a Comment