Thursday, April 18, 2013

WEMA ANAMAANISHA ALICHOANDIKA AU NI ANAZINGUA TU?



Kutokana na kile alaichoandika Wema ameandika hivi “I Pray to God anichukue tu, nikapumzike, I’m seriously tired…nimechoka mimi” Je anamaanisha au ni stunt tu ili akick kama alivyosema hakupiga simu kwa Diamond ili kubembeleza warudiane. Navyomjua Wema sio mtu wa kupaniki kiasi hicho mpaka aandike vile kwa sababu mwenyewe alishawahi kusema hajali wanayosema watu na wala hana muda nao, ndo maana ukiangalia ni stunt tu sidhani kama anamaanisha. Kuna msemo unasema maneno yanaumba, utakachokisema ndicho kitakacho kutokea kuna mifano mingi sana ukiamua kufuatilia kuwajua mfano wa haraka ni Tupac na seven days theory inaonekana ni mtu ambaye alijitabiria kifo chake kwa maneno yake mwenyewe na wengine unaowajua wewe msomaji.
Kwa maneno kama hayo mtu anayeweza kusema ni mtu Yule ambaye ameshindwa maisha hana kitu kabisa ni maskini ambaye hata mlo mmoja kwa siku ni shida au mtu ambae ni mgonjwa ambae hana matumaini kabisa ya kupona na ameumwa kwa siku, lakini sio Wema mtu maarufu mwenye utajiri wa kutosha akiwa na umri mdogo huku akiwa na mipango mingi kwa baadae. Kwa hiyo naona hizo ni stunt tu pia Wema akiwa anataka aendelee kuckick zaidi.
 
source: cloudsfm.co

No comments:

Post a Comment