Wakati wasanii wengine wamekua wakija na Headphones zao Kama Ludacris "Soul By Luda" na 50 "Street King" Mdada minaj ameamua kuja kitofauti kabisa....
Hii ndio biashara mpya ambayo Nicki Minaj ameamua kuanza kuifanya kwa
sasa kwa kutengeneza spika ndogo ambazo amezipatia jina Pink Pills
ambazo kimsingi watumiaji wake walengwa ni madada duuz... Barbies.
Mpango huu umefanyika kwa Nicki Minaj kuungana na kampuni kubwa ya
Beats Electronics ya Dr Dre ambayp kwa sasa bidhaa yake ya Headphones za
Beats By Dre inafanya poa duniani kote, na Pink Pills ni aina ya spika
ambazo hutumia bluetooth connection kupick na kucheza muziki ama sauti
yoyote.
Bidhaa hizi zimeshatoka na leo hii tangazo lake ta TV limezinduliwa
rasmi na bei ya speaker moja ni dola 199 kwa saa, zaidi ya shilingi
laki 320 za kitanzania.
Source: mitandao mbalimbali na Sammisago.com
No comments:
Post a Comment