Friday, April 12, 2013

Hii Picha Nashindwa Elewa ni kwamba shoo ya DIAMOND ilibuma au?

Unaambiwa hii picha imezagaa sana katika mitandao ya kijamii, na inasadikika kwamba ni show ya mchizi DIAMOND. taarifa ni kwamba "Golden Creast Hotel" Mwanza ambapo Diamond alikuwa na show kwaajili ya sikukuu ya wapendanao na kiingilio kinatajwa kuwa kulikuwa ni shilingi 20,000/- za kitanzania.

No comments:

Post a Comment