Unaambiwa hii picha imezagaa sana katika mitandao ya kijamii, na inasadikika kwamba ni show ya mchizi DIAMOND. taarifa ni kwamba "Golden Creast Hotel" Mwanza ambapo Diamond alikuwa na show kwaajili ya sikukuu ya wapendanao na kiingilio kinatajwa kuwa kulikuwa
ni shilingi 20,000/- za kitanzania.
No comments:
Post a Comment