Tuesday, April 9, 2013

Bow Wow Ashtakiwa na mdada mcheza picha za Ngono

Memba wa kundi la YMCMB ambae pia ni mtangazaji wa kipindi cha 106 N Park ya huko marekani, amejikuta matatani baada ya kushtakiwa na mdada mcheza picha za Ngono, maarufu kama 'Katsuni'. Ambae inaaminika kuwa Bow wow ametumia moja ya 'Dance style' za huyo dada bila kupata kibali toka kwa huyo mdada, hivyo sasa jamaa ana 'face' msala. Na inakadiriwa endapo huyo dada atashinda hiyo kesi basi itamlazimu Bow wow amlipe $80,000 ambazo kwa hela za kibongo ni kama 129,479,170.04 tshs kitu kama milion mia ishirini na tisa laki nne na vimchuzi mchuzi huko... Duh!

No comments:

Post a Comment